iqna

IQNA

naeem qassim
Wanajihadi
IQNA - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, utapata jibu kali na la sawasaw kutoka kwa harakati hiyo.
Habari ID: 3478261    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Sheikh Naeem Qassem
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Naeem Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha serikali ya Marekani ni kulinda maslahi ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Habari ID: 3473622    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05